Lyrics Sina Nyota - Mbosso

Sina Nyota - Mbosso
Song information On this page you can find the lyrics of the song Sina Nyota, artist - Mbosso.
Date of issue: 01.09.2020
Song language: Swahili

Sina Nyota

Mwenyewe anaona sawa
Ila mwambie mimi ananiumiza sana
Ni zaidi ya kupagawa
Siponi ugonjwa na nishamaliza dawa
Na ajue bado nipo
Ila hali yangu hohehahe
Sina mabadiliko
Machozi mafuriko fundi wa jiko langu kaacha mawe
Mpaka akalamba mwiko
Bridge:
Toka alivyoniacha
Sina nyota wala mwezi
Mwenzake nimekamatwa
Na homa ya mapenzi
Toka alivyoniacha
Sina nyota wala mwezi
Mwenzake nimekamatwa
Na homa ya mapenzi
Mwili watepeteka
Sina afadhali mawazo yanitesa
Mbavu dabodeka ni ka misumari
Naanza dhoofika
Mwili watepeteka
Sina afadhali mawazo yanitesa
Mbavu dabodeka ni ka misumari
Naanza dhoofika
Bado ndo ndo ndo chururu
Nikijaza haikai kibaba
Na misongosongo msururu
Sita haikai saba
Mimi kitorondo ye kunguru
Mbao zangu hazimpi msaada
Makombe nishaoga dawa ka susuru
Huenda nikasahu labda
Kitandani mito ipo miwili
Ubavu wewe ubavu mimi
Pakata ndiko imewekwa shubiri
Nalikwepa nalala chini
Nimefuta picha tulizopiga chumbani
Ila bado zanisuta suta zimebaki kichwani
Silali nastuka stuka unaniita gizani
Chozi lalowesha shuka na sina wa kunifuta nani
Bridge:
Toka alivyoniacha
Sina nyota wala mwezi
Mwenzake nimekamatwa
Na homa ya mapenzi
Toka alivyoniacha
Sina nyota wala mwezi
Mwenzake nimekamatwa
Na homa ya mapenzi
Mwili watepeteka
Sina afadhali mawazo yanitesa
Mbavu dabodeka ni ka misumari
Naanza dhoofika
Mwili watepeteka
Sina afadhali mawazo yanitesa
Mbavu dabodeka ni ka misumari
Naanza dhoofika
Outro:
Toka alivyoniacha
Sina nyota wala mwezi
Mwenzake nimekamatwa
Na homa ya mapenzi
Toka alivyoniacha
Sina nyota wala mwezi
Mwenzake nimekamatwa
Na homa ya mapenzi

Share lyrics:

Write what you think about the lyrics!

Other songs of the artist:

NameYear
Baikoko ft. Diamond Platnumz 2021
Shida 2018
Watakubali 2018
Ate 2019
Alele 2018
Tamba 2020

Artist lyrics: Mbosso