Lyrics of Ni Hayo Tu - Fid Q, Langa, PROFESSOR JAY

Ni Hayo Tu - Fid Q, Langa, PROFESSOR JAY
Song information On this page you can find the lyrics of the song Ni Hayo Tu, artist - Fid Q
Date of issue: 02.03.2003
Song language: Swahili

Ni Hayo Tu

(original)
Oyaa, dogo, we mshamba we njoo hapa
We ndio wanakuita Fid Q, (Ndio)
Hebu atupe mistari kwanza…
Korombwea hayo maisha ya kuungaunga, hiyo shughuli mi naiweza
Hapa utaambulia ushauri ukihitaji msaada wa kifedha
Mi kujiita rasta, wenye chuki tu wanapinga
Wanashangaa na kula nyama, hawajui nyota yangu ni ya simba
Asiye fikiri kabla ya tendo, atatendwa pale akidamka
Na usinidiss kwa kiswahili kama hujui hata kukitamka
Kuongea sio kusema na kufumbua macho sio kuamka
Wasiwasi ukiwanyima raha, mistari itawafanya kuchangamka
Mnapagawa na baadhi ya mambo ambayo nayajua
Pia nna uwezo kufanya mpaka madawa yanaugua
Hii ni I level, sio high level ndio maana hunioni
Waulize wenzako, Fid Q yupo juu zaidi yako homie
Nipo juu, je utanibana kama kizibo cha soda?
Kushuka ngazi tu unahema, je kuzipanda hupati uoga?
Amini usiamini, Fid Q ndiyo sauti ya mtaani
Je, mtafurahi nikishuka chini kama mademu wa marubani
Bora kuogopwa, wakikupenda watakuchukia
Nilipo na nilipo anzia, sipo napo hitaji nibaki pia
Si hofii kupitwa ilimradi muda usiniache
Hii ni kwa wote, popote
Siogopi kuomba mvua najua mnayahofia matope
Mwingine anakurupuka ananiiga, anasema sifai
Naona vibaya kumjibu, sahau kutupa mawe juu ya mayai
Chipukizi chapeni kazi ili mng’atuke mlipokwama
Vumilieni kama nyota mtatoka jua likizama
Ni binadamu sijakamilika, kuandika rhymes sikosei
Japo miluzi ni mingi lakini jibu huwa sipotei
Nitaendelea kuwa mshindi wa juu ka majani na record Bongo
Nakutembea kifua mbele utadhani nimedundwa ngumi ya mgongo
(Aargh, Fid Q kitu gani bwana…)
(Afu mi ananikeraga anajifanya anapenda mademu wa kizungu)
(Achana nae, nyie asikuzingueni Bongo fleva kitu gani…)
Kila mtu Fid Q hivi, mara Fid Q vile
Yaani Fid Q, Fid Q, Fid Q tuuu, ni hayo tu
Kila mtu Fid Q hivi, mara Fid Q vile
Yaani Fid Q, Fid Q, Fid Q tuuu, ni hayo tu
Ukinicheka shambani, mi nakucheka sokoni
Chuma au fua chuma, ni mwendo wa roho mkononi
Maisha ni mpangilio, ukitulia yanajiseti
Ni kama A to Z kwenye mfumo wa alfabeti
Hawara hana takala, ukimtaka unampata
Bendera ibaki hewani, natimba chaka kwa chaka
Hatufanani kama alama za vidole
Na bado naziamini falsafa za mwenda pole
Unaishi nyumba ya vioo, basi usinitupie mawe
Heshima yangu sikuipata katika sandakalawe
Inakuwaje unadiss?
unampaka wa mawazo
Unazungumzia ujazo, milazo au micharazo
Nilichuna wakati wa kwenda, ila sasa narudi
Nikanyage bahati mbaya nikulipue makusudi
Ni hayo tu, kama hujitumi piga mihayo tu
Fid Q na Jizze heshima ndiyo tuitakayo tu
Kila mtu profesa hivi, mara Profesa vile
Yaani Jay profesa?
Jay tuu, ni hayo tu
Kila mtu profesa hivi, mara Profesa vile
Yaani Jay profesa?
Jay tuu, ni hayo tu
(.jana nilimuona maskani, kaja na kipensi rafiki yangu
Afu sijui kanywa gongo alafu ile Benzi lao analisukuma halina mafuta.)
(We mwenyewe unamuonaje kwanza?)
(.njaa. anapenda tatizo mimamaa.)
Natumia akili, ustaarabu, na subira
Situmii mwili, jazba, na hasira
Mapinduzi daima, msimamo ka Che Guevara
Usingizi ndugu yake kifo, sipendi kulala
Nafuata mipango yangu, sifuati mipango ya wengine
Niko focused, hata ikibidi vingine nijinyime
Wote tukiwa masikini, nani atamsaidia mwenzake?
Niacheni ni win, majungu msinipake
Wanasema nimechange, eti sio mimi wa zamani
Sionekani maskani kwa darubini wala miwani
Lawama kibao utadhani mahakamani
Mi nisipo hangaika atayenilisha nani
Wananichekea usoni, kisogoni wananisema
Wanatafuta mabaya, wanjifanya hawaoni mema
Kisichoniua kitanikomoza ki-askari
Unavyo nichukia unadhihirisha mi mkali
Sina haja ya kurudia, Fiddy alishawaambia
«U-superstar mzigo wa mwiba» ukiubeba unaumia
(Langa langa, langa kilanga?)
(Kajinga tu kale) (.Ye mwenyewe mshamba tuu)
(eti, kabosi kale, .yaani mimi kalanga kale.)
(Machizi wamemsaidia kishenzi. wamembeba mpaka wamemchoka)
(.Sio inshu yule aah sio inshu yule.)
(.uhh, kichwa chenye utadhani madenge.)
(na na nanilii ngoja nikwambie, unajua eti enzi zile…)
Kila mtu Langa hivi, mara Langa vile
Yaani Langa tuu, yaani Langa tuu
Kila mtu Langa hivi, mara Langa vile
Yaani ni hayo tu, huh, ni hayo tu
Na nafuata njia zangu kama Carlito
Nayajua mateso kama Mel Gibson na Apocalypto
(translation)
Oyaa, little one, come here
We're the ones calling you Fid Q, (Yeah)
Let's give the lines first…
Destroy the life of joining you, the activities I can do
Here you will find advice if you need financial support
I call myself a rasta, only the haters oppose it
They wonder and eat meat, they do not know that my star is that of a lion
He who does not think before he acts, will be acted on when he feels it
And don't blame me for Kiswahili if you don't even know how to pronounce it
To speak is not to speak and to open the eyes is not to wake up
If anxiety robs them of pleasure, lines will cheer them up
You are crazy about some things that I know
I also have the ability to do it until the drugs get sick
This is I level, not high level, that's why you don't see me
Ask your mates, Fid Q is above you homie
I'm on top, will you squeeze me like a soda cap?
Just going down the stairs makes you pant, don't you get nervous going up them?
Believe it or not, Fid Q is the voice of the street
Will you be happy if I go down like the demons of the pilots?
Better to be feared, if they love you they will hate you
Where I am and where I started, I am not there and there is no need for me to remain
I'm not afraid of being overtaken as long as time doesn't leave me
This is for everyone, everywhere
I am not afraid to ask for rain, I know you are afraid of mud
Another jumps up and imitates me, saying I'm not good enough
I find it wrong to answer him, forget to throw stones at eggs
Spruce up the work so you don't get stuck when you're stuck
Be patient like the stars you will come out when the sun sets
I'm an imperfect human, writing rhymes makes no mistakes
Although there are many whistles, I never miss the answer
I will continue to be the winner of the top of the straw and record Bongo
I'm walking chest forward and you'll think I've been punched in the back
(Aargh, Fid Q what sir…)
(Afu mi ananikeraga pretends to like white demons)
(Leave him, you guys, don't let Bongo talk to you about anything...)
Everyone Fid Q like this, times Fid Q like that
That is Fid Q, Fid Q, Fid Q tuuu, that's all
Everyone Fid Q like this, times Fid Q like that
That is Fid Q, Fid Q, Fid Q tuuu, that's all
If you laugh at me in the field, I laugh at you in the market
Iron or iron, it is the movement of the spirit in the hand
Life is a plan, if you stay calm it sets itself
It's like A to Z in the alphabet system
Hawara has no waste, if you want him you will find him
Let the flag stay in the air, I will take it piece by piece
We are not alike as fingerprints
And I still believe in the philosophies of the slow walker
You live in a glass house, so don't throw stones at me
I did not find my honor in sandakalawe
How do you diss?
borderline of thought
Are you talking about volume, diagonals or diagonals?
I plucked when I was going, but now I'm coming back
I stepped on bad luck and blew you up on purpose
That's it, if you don't use it, just yawn
Fid Q and Jizze respect is all we want
Everyone is a professor like this, sometimes a professor like that
That is Jay professor?
Just Jay, that's all
Everyone is a professor like this, sometimes a professor like that
That is Jay professor?
Just Jay, that's all
(.Yesterday I saw the house, I came with my friend's pen
Afu, I don't know how to drink gong because the Benzi they are pushing has no oil.)
(How do you see him first?)
(Hungry. He likes problems, moms.)
I use intelligence, civility, and patience
I don't use the body, passion, and anger
Revolution always, the position of Che Guevara
Sleep brother death, I don't like to sleep
I follow my plans, I don't follow other people's plans
I am focused, even if I have to deny myself
When we are all poor, who will help each other?
Leave it to me, don't touch me
They say I have changed, that I am not the old me
I can't see the house with binoculars or glasses
Blame the tablet you will think in court
I am not worried about who will feed me
They laugh in my face, they say in the back of my head
They look for the bad, pretend they don't see the good
What doesn't kill me will make me a soldier
The way you hate me, you show me to be fierce
I don't need to repeat it, Fiddy told them
«U-superstar load of thorn» if you carry it you get hurt
(Langa langa, langa kilanga?)
(Just a fool in the past) (He himself is just a farmer)
(let's say, kabosi kale, that is, I kalanga kale.)
(Machizi has helped him savagely. They have carried him until they are tired of him)
(.It's not that inshu aah it's not that inshu.)
(.uhh, a head with you guessed it.)
(and I'm crying, let me tell you, you know those days...)
Everyone Langa like this, sometimes Langa that
That is just Langa, that is just Langa
Everyone Langa like this, sometimes Langa that
I mean, that's all, huh, that's all
And I follow my ways like Carlito
I know torture like Mel Gibson and Apocalypto
Translation rating: 5/5 | Votes: 1

Share the translation of the song:

Write what you think about the lyrics!