Lyrics Teacher - Harmonize

Teacher - Harmonize
Song information On this page you can read the lyrics of the song Teacher , by -Harmonize
In the genre:Африканская музыка
Release date:04.11.2021
Song language:Swahili

Select which language to translate into:

Teacher
Yah yah
Ah ha ha ha ha, Jeshi
(Imma in the beat)
Wakati wanahanya kugombea kiti
Wanadanganyana na viewers wa ku-cheat
Mie jicho lipo nyanya nilishakula kijiti
Na magoma yakipigwa huko club mtiti
Ninachojua masela huko mtaani kuna dhiki
Ndo maana sitingishi hela, wala ninavyovimiliki
Mafumbo andika kwa dela, watu wanataka muziki
Mara kumi mwanangu wa sindelela, yeye hapendagi makiki oh na, na-na
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza (uhg)
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza
I’m your teacher, teacher Konde
Teacher, teacher Konde
I’m your teacher, teacher Konde
Teacher, teacher Konde
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza (uhg)
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza
Ninachojua masela huko mtaani kuna dhiki
Ndo maana sitingishi hela wala ninavyovimiliki
Mafumbo andika kwa dela watu wanataka muziki
Mara kumi mwanangu wa sindelela yeye hapendagi makiki oh na, na-na
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza (uhg)
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza
I’m your teacher, teacher Konde
Teacher, teacher Konde
I’m your teacher, teacher Konde
Teacher, teacher Konde
Naika kupoteka, karipambilile, eh
Mwaka nakutayonja, nakutayonji
Navanta na mwi makonde
Vanemba, Newala
Hadi ku-Tandahimba
Naika kupoteka, karipambilile
Teacher, teacher Konde
Teacher, teacher Konde
I’m your teacher, teacher Konde
Teacher, teacher Konde
Safi, safi sana

Share the lyrics:

Write what you think about the lyrics!

Other songs by the artist: