Lyrics of Amen - LADY JAYDEE

Amen - LADY JAYDEE
Song information On this page you can find the lyrics of the song Amen, artist - LADY JAYDEE.
Date of issue: 23.07.2020
Song language: Swahili

Amen

(original)
Uh hebu tazameni
Matendo ya Mungu yanavyotisha
Amefanya mengi makubwa ya kustaajabisha
Marafiki leo wana upendo kesho umekwisha
Ila upendo wa Mungu hauwezi kwisha
Naamini neno lako linaishi forever
Utendawazi hauwezi kubadili
Dhambi ikawa haki, Never!
Umenifikisha sehemu ambazo
Wala sikuwahi kuzifikiria
Sifa zako nitazihadithia
Unaniepusha na maadui
Unanilinda na mabaya
Ambayo hata siyatambui
Mungu uliye hai
Hata mimba zilizotokea
Kwenye mazingira ya dhambi
Watoto umewapa uhai
Na kama pumzi unanipa bure
Sasa kivipi tamaa ya pesa initenge na wewe
Nashukuru kwa kunileta hii sayari
Milele nitakuamini Mungu wa kweli AMINA
Amen Baba, Amen
Upendo wako, huruma yako Amen
Wema wako utukufu wako, Amen
Amen Baba, Amen
Umenipa maarifa, umenipa uhai, umenipa mali
Hata nacho kipaji siwezi sema sijaridhika
Umenipa kile ulichonipa, hukunitupa
Nami sitakijuta Baba, nasema AMEN
Glory to God, utajiri mkubwa ni furaha
Mungu anaweza kubariki mpaka ukashangaa
Niwapo kwenye njaa nikumbushe kwamba
Ndege hawalimi, hawavuni ila hawakosi chochote
Nilipotoka usiache nikumbusha
Nipe hekima nisitamani magari
Nisiyoweza kuyaendesha
Niishi kwenye ukweli nidumu
Maana uwongo hauishi milele
Na unaua faster kuliko sumu
Pia asante kwa kunipa bidii
Napokuomba haujibu haraka
Unajibu wakati sahihi
Una hekima inayoshangaza dunia
Watu hata tungombane vipi
Tunashare mvua na jua
Nilijalie nisilewe sifa
Nikumbuke siku za uhai wangu zinahesabika
Hivyo nikuabudu nikiwa kijana
Nawe utaniweka juu kwa baraka leo zaidi ya jana
Amen Baba, Amen
Upendo wako, huruma yako Amen
Wema wako utukufu wako, Amen
Amen Baba, Amen
Copyrights: Bongo Records Tanzania
(translation)
Uh let's see
The works of God are awesome
He has done a lot of amazing things
Friends today have love tomorrow is over
But God's love never fails
I believe your word lives forever
Globalization cannot change
Sin became just, Never!
You have brought me to those places
Nor did I ever think of them
I will tell your story
You keep me from enemies
You protect me from evil
Which I do not even realize
The living God
Even abortions occurred
In a sinful environment
You have given children life
And if the breath gives me free
Now how can the desire for money separate me from you
Thank you for bringing me this planet
I will always believe in the true God AMEN
Amen Father, Amen
Your love, your mercy Amen
Your goodness and your glory, Amen
Amen Father, Amen
You have given me knowledge, you have given me life, you have given me wealth
Even with the talent I can not say I am not satisfied
You gave me what you gave me, you did not give it to me
And I do not regret it, Father, I say AMEN
Glory to God, great wealth is happiness
God can bless you until you are amazed
When I am hungry remind me that
Birds do not plow, do not harvest, but do not lack anything
When I left do not stop reminding me
Give me wisdom not to covet cars
I can't run them
Let me live in the truth and endure
For lies do not last forever
And it kills faster than poison
Also thank you for giving me the hard work
When I ask you, you do not respond immediately
You respond at the right time
You have the wisdom that astonishes the world
People no matter how we fight
We share rain and sun
I wish I had not been praised
Remember the days of my life are numbered
So I worshiped you as a young man
And you will set me up with blessings today more than yesterday
Amen Father, Amen
Your love, your mercy Amen
Your goodness and your glory, Amen
Amen Father, Amen
Copyrights: Bongo Records Tanzania
Translation rating: 5/5 | Votes: 1

Share the translation of the song:

Write what you think about the lyrics!

Other songs of the artist:

NameYear
Diaspora ft. LADY JAYDEE 2020

Artist lyrics: LADY JAYDEE